{"id":645,"date":"2022-07-20T19:36:12","date_gmt":"2022-07-20T19:36:12","guid":{"rendered":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/?p=645"},"modified":"2022-07-20T19:36:12","modified_gmt":"2022-07-20T19:36:12","slug":"mambo-ya-muhimu-kwa-mkulima-kabla-na-baada-ya-kuanza-mradi-wa-mbogamboga","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/mambo-ya-muhimu-kwa-mkulima-kabla-na-baada-ya-kuanza-mradi-wa-mbogamboga\/","title":{"rendered":"MAMBO YA MUHIMU KWA MKULIMA KABLA NA BAADA YA KUANZA MRADI WA MBOGAMBOGA"},"content":{"rendered":"<div class=\"wp-block-image\">\n<figure class=\"aligncenter\"><a href=\"https:\/\/www.blogger.com\/blog\/post\/edit\/7501401375928537680\/8065300606594458586#\"><img decoding=\"async\" src=\"https:\/\/3.bp.blogspot.com\/-E9RtXt8kNTI\/WC318GFGZYI\/AAAAAAAABgQ\/vshLeMp77YUnnVBz8fiTgYCOp57neLa8ACLcB\/s640\/WhatsApp%2BImage%2B2016-09-29%2Bat%2B19.51.16.jpeg\" alt=\"\"\/><\/a><\/figure>\n<\/div>\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUCHAGUA ENEO.<\/h2>\n\n\n\n<p>Katika uchaguzi wa eneo kwa ajili ya bustani zingatia yafuatayo:<br>\u2022 Mwinuko:&nbsp;<br>Eneo lisiwe kwenye mwinuko mkali kwa sababu sehemu kama hizo zinaweza kusababisha mmomonyoko wa udongo. Endapo sehemu itakuwa ya mwinuko tengeneza matungazi (terrace) ili kuzuia mmomonyoko huo.<\/p>\n\n\n\n<hr class=\"wp-block-separator has-alpha-channel-opacity\"\/>\n\n\n\n<p>\u2022 Udongo:&nbsp;<br>Udongo unaofaa ni wenye rutuba, mboji nyingi na unaopitisha maji kwa kirahisi. Vilevile usiwe na historia ya magonjwa na wadudu waharibifu. Pia kupima udongo ni muhimu ili kupata mwanga wa namna ya kutumia mbolea na utunzaji wa mimea wasi<br>\u2022 Chanzo cha Maji:<br>&nbsp;Eneo la bustani liwe karibu na maji ya kudumu. Maji yasiwe na chumvi nyingi kwani huathiri ukuaji wa mimea. umwagiliaji kwa njia ya matone ni mzuri zaidi kwa mazao ya mboga mboga&nbsp;<br>\u2022 Kitalu:<br>&nbsp;Kitalu kisiwekwe mahali palipo na kivuli kingi kwa kuwa husababisha mimea kuwa dhaifu.<br>\u2022 Kuzuia Upepo Mkali:<br>&nbsp;Eneo la bustani lipandwe miti mipakani ili kuzuia upepo mkali. Upepo mkali huharibu mimea kwa kuvunja vunja majani na matawi na husafirisha vimelea vya magonjwa na wadudu. Pia hufanya udongo wa juu kukauka haraka na kuleta mmomonyoko.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUTAYARISHA MATUTA<\/h2>\n\n\n\n<p>\u2022 Ni muhimu udongo utifuliwe vizuri.<br>\u2022 Mabonge makubwa yavunjwe vunjwe ili Kurahisisha upitaji wa maji na hewa katika udongo.<br>\u2022 Matuta huinuliwa kidogo toka usawa wa ardhi ili kuzuia maji yasituame kwa wastani wa sentimita 20-40.<br>\u2022 Matuta haya yasitumike wakati wa kiangazi.<br>\u2022 Wakati wa kiangazi tengeneza matuta yaliyodidimia kidogo.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUMWAGILIA MAJI<\/h2>\n\n\n\n<p>\u2022 Hakikisha udongo una unyevu wa kutosha kwa kumwagilia siku moja kabla ya kuotesha mbegu.<br>\u2022 Pia baada ya kupanda mwagilia kitalu au shamba maji ya kutosha. Maji mengi husababisha mbegu au miche kuoza. katika umwagiliaji wa mboga ni muhimu kumwagilia maji kwa kiasi bila kuupunja mmea wala kuuzidishia ili mimea yako ikue vizuri na njia ya kumwagilia kwa kutumia mpira(horse pipe) au kwa kutumia ndoo( watering can ) ni nzuri na inatakiwa ifanyike kwa uangalifu mkubwa ili kuhakikisha mimea yote inapata maji sawa na kwa wakati&nbsp;<br>UMWAGILIAJI KWA NJIA YA MATONE<a href=\"https:\/\/www.blogger.com\/blog\/post\/edit\/7501401375928537680\/8065300606594458586#\"><\/a>Njia hii ya umwagiliaji ni njia muafaka ya kuwezesha mimea yako na udongo wako kupata kiasi sahihi cha maji na kwa wakati, pia njia hii inatumia muda kidogo na gharama za uendeshaji wa bustani yako zinakuwa chini kwani hata mtoto mdogo anaweza kumwagilia shamba kubwa bila shida yoyote karibu 0763347985 Engineer Lasway kwa mahitaji ya umwagiliaji kwa njia ya matone<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUPANDA.<\/h2>\n\n\n\n<p>\u2022 Kina cha kupanda kitategemea ukubwa wa mbegu.<br>\u2022 Mbegu ndogo hupandwa katika kina kifupi zaidi kuliko mbegu kubwa.<br>\u2022 Upandaji wa baadhi ya mbegu unaweza kufanyika kila wiki ili kuweza kupata mboga mfululizo.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUOTESHA MBEGU KWENYE KITALU.<\/h2>\n\n\n\n<p>Baadhi ya mbegu za mboga huoteshwa kwanza kwenye kitalu na baadaye miche huhamishiwa shambani. Mbegu hizini kama vile za bilinganya, kabichi, nyanya, pilipili hoho na vitunguu. Kitalu kwa ajili ya kuotesha mbegu hakina budi kitayarishwe wiki moj a kabla ya kusia mbegu. Wakati wa kutayarisha kitalu, ardhi ikatuliwe katika kina cha kutosha sentimita 30 kwenda chini. Ili kuongeza rutuba ya udongo mbolea za asili kama vile samadi, takataka na mbolea vunde zilizooza vizuri ziwekwe kabla ya kusia mbegu.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUTUMIA MBEGU BORA.<\/h2>\n\n\n\n<p>Tumia mbegu bora zilizohifadhiwa kwenye dawa. Mbegu bora ni zile ambazo zimekomaa na kukauka vizuri, hazikushambuliwa na wadudu wala magonjwa na ambazo zina uwezo wa kuota vizuri. Inashauriwa kutumia mbegu zilizothibitishwa kitaalamu karibu&nbsp;<a href=\"https:\/\/www.blogger.com\/blog\/post\/edit\/7501401375928537680\/8065300606594458586#\">GREEN AGRICULTURE&nbsp;<\/a>&nbsp;tukupe mbegu bora za mboga aina zote 0719880905 Agronomist Boniphace&nbsp;.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUWEKA KIVULI NA MATANDAZO.<\/h2>\n\n\n\n<p>Utandazaji wa majani makavu na uwekaj i wa kivuli ni muhimu ili kuzuia jua linaloweza kunyausha miche. Matandazo pia husaidia kuhifadhi unyevu, joto la udongo na hupunguza palizi ya mara kwa mara. Kivuli kiruhusu mwanga wa kutosha na kiondolewe kidogo kidogo kadiri mimea inavyokua. Uwekaji wa kivuli ni muhimu ili kuzuia jua kali.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUITAYARISHA MICHE KABLA YA KUPANDIKIZA:<\/h2>\n\n\n\n<p>Wiki mbili kabla ya kuihamisha miche toka kitaluni, unashauriwa kupunguza kumwagilia ili kuizoesha iweze kustahimili hali ya sehemu inapohamishiwa. Mwagilia kitalu siku moja kabla ya kung\u2019oa miche ili kurahisisha ung\u2019oaji na kuepuka kuikata mizizi. Pia shamba kwa ajili ya kuhamishia miche limwagiliwe siku moja kabla ya kupandikiza ili kuloanisha udongo.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">MATUMIZI YA MBOLEA.<\/h2>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image\"><a href=\"https:\/\/www.blogger.com\/blog\/post\/edit\/7501401375928537680\/8065300606594458586#\"><img decoding=\"async\" src=\"https:\/\/2.bp.blogspot.com\/-K5Jd3s83IOo\/WC32PIKdjyI\/AAAAAAAABgU\/3p8EuJQw7pEwUxh3BJv8zygnCxlJcDA9wCLcB\/s640\/IMG-20160526-WA0011.jpg\" alt=\"\"\/><\/a><\/figure>\n\n\n\n<p>Mboji, Samadi na Mbolea Vunde.<br>Mboga hustawi, vizuri sana katika udongo wenye mbolea hizo. Hivyo ni vema mbolea hizo ziwekwe shambani kabla ya kupanda au kupandikiza. Kiasi kinachotakiwa ni ndoo moja kwa tuta lenye upana na urefu wa mita moja.<br>Mbolea za Viwandani.<br>Mbolea za viwandani zimegawanyika katika makundi makuu matatu, nayo ni<br>\u2022 mbolea za chumvichumvi<br>\u2022 chokaa<br>\u2022 kijivu<br>Mbolea za Chumvichumvi.<br>Mbolea hizi hujulikana kama mbolea za kukuzia na huwekwa shambani baada ya mimea kuota.<br>\u2022 Zina virutubisho vingi vya Naitrojeni ambavyo huifanya mimea kukua haraka.<br>\u2022 Pia zinahusika na utengenezaji wa kijani kibichi kwenye mmea.<br>Nchini Tanzania mbolea za chumvichumvi zinazotumika zaidi ni:-<br>\u2022 Sulphate ofAmmonia (S\/A) 21% N.<br>\u2022 Calcium Ammonium Nitrate (CAN) 26 % N.<br>\u2022 Urea 46% N.<br>\u2022 Mbolea ya mchanganyiko N.P.K. 25.5.5 na 20.10.10.<br>Mbolea za Chokaa:<br>Hizi ni mbolea zinazotumika kupandia mbegu au miche.<br>\u2022 Husaidia uotaji mzuri wa mimea, huimarisha mizizi, na hutumika katika utengenezaji wa chakula na mbegu kwenye tunda.<br>\u2022 Vilevile huhusika na usafirishaji wa nguvu kwenye mmea na hufanya mazao kukomaa haraka.<br>\u2022 Mbolea hizi huwekwa shambani wakati wa kupanda.<br>\u2022 Aina ya mbolea za chokaa zinazotumika hapa nchini ni<br>\u2022 Triple Super Phosphate (TSP) 46% P2O5.<br>\u2022 Vilevile unaweza kutumia N.P.K 6.20.18 kwa kupandia.<br>Mbolea za Kijivu (PotaSh)<br>Potashi ni kirutubisho kinachosaidia mimea katika utengenezaji wa protini na wanga.<br>\u2022 Kadhalika huhusika na utumiaji wa madini muhimu kwa maisha ya mimea.<br>\u2022 Mbolea hii pia huwezesha matunda kukomaaa, kuiva haraka, na kutengeneza mbegu bora.<br>\u2022 Vilevile husaidia ongezeko la maji kwenye mmea na kuufanya ustahimili magonjwa, ukame, baridi na hali ya udongo wenye alkalini nyingi.<br>\u2022 Mbolea za Potashi zinazotumika ni:-<br>\u2022 Muriate of Potash 48 &#8211; 60%<br>\u2022 K2O- Sulphate of Potash 48%<br>kwa ajili ya ushauri wa matumizi ya mbolea wasiliana na Agronomist wetu atakupa ushauri na maelezo mengi kuendana na aina ya zao lako zaidi&nbsp;<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">KUBADILISHA MAZAO SHAMBANI<\/h2>\n\n\n\n<p>Kubadilisha mazao shambani ni utaratibu wa kuacha kupanda mfululizo aina ileile ya zao katika eneo hilo hilo. Iwapo eneo ni kubwa, bustani igawanywe katika sehemn tatu au nne ili kuepuka kupanda mfululizo aina ileile ya zao. Katika kila sehemu panda aina nyingine ya mazao na ya familia tofauti kila baada ya kuvuna. Baada ya kuvuna; mazao ya sehemu ya kwanza yapandwe katika sehemu ya pili, ya pili katika sehemu ya tatu na ya tatu yapandwe katika sehemu ya nne na yale ya nne yapandwe katika sehemu ya kwanza. Kubadilisha mazao shambani huzuia ongezeko la wadudu na magonjwa yanayoshambulia jamii moja ya zao. Vilevile huhifadhi rutuba ya udongo na huzuia uotaji wa magugu. Utaratibu huu pia humwezesha mkulima kuweka kiasi cha mbolea kinachotakiwa shambani. Ufuatao ni mfano wa kubadilisha mazao.<\/p>\n\n\n\n<p>MFANO WA KUBADILISHA MAZAO<br>\u2022 Jamii ya Nyanya.<br>\u2022 Bilinganya.<br>\u2022 Nyanya.<br>\u2022 Pilipili Viazi Mviringo.<br>\u2022 Jamii ya Matango Matango.<br>\u2022 Maboga.<br>\u2022 Matikiti Maji.<br>\u2022 Mimea ya Mizizi.<br>\u2022 Karoti.<br>\u2022 Vitunguu.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">MATUMIZI YA MADAWA.<\/h2>\n\n\n\n<p>Ni muhimu kutumia madawa ili kukinga mimea kutokana na athari za wadudu na magonjwa. Hata hivyo madawa yatumike pale inapobidi kwani ni ghali na yana madhara kwa mazingira na watu.<br>Mambo yafuatayo yanatakiwa kuzingatiwa wakati wa kutumia madawa.<br>\u2022 Hakikisha unatumia dawa inayoshauriwa na wataalamu.<br>\u2022 Soma kwa uangalifu maelezo yanayoambatana na dawa toka kwa watengenezaji, kabla ya kutumia na yasikiukwe. Hii itakusaidia kujua vifaa, kiasi na jinsi ya kutumia. Madawa ni hatari kwa binadamu na wanyama kama yatatumika isivyopasa.<br>\u2022 Wakati wa kuchanganya na kunyunyizia dawa, vaa nguo na vifaavyakinga. Vifaa hivi ni kofia, glovus, viatu (gumboots), kitambaa cha kufunika mdomo na pua, miwani na ovaroli.<br>\u2022 Tumia maji safi kuchanganya dawa.Epuka kuvuta hewa yenye dawa.<br>\u2022 Wakati wa kunyunyizia dawa usielekee upepo unakotoka bali elekea upepo unakoenda.<br>\u2022 Usile wala kuvuta wakati wa kuchanganya au kunyunyizia dawa. Baada ya kunyunyizia dawa osha mwili kwa sabuni na maji mengi na safi.<br>\u2022 Maji yanayotumika kusafishia bomba yasimwagwe katika maji yaliyotuama au yanayotembea kwani yanaweza kuleta madhara sehemu nyingine.<br>\u2022 Maji yamwagwe kwenye shimo na kufukiwa.<br>\u2022 Nguo na vifaa vingine vilivyotumika zifuliwe mara moja kwa sabuni na maji safi.<br>\u2022 Osha vizuri mikono kwa sabuni kabla ya kula, kunywa chochote au kuvuta sigara.<br>\u2022 Makopo au chupa zilizokuwa na dawa zisitumike bali ziharibiwe na kufukiwa.<br>\u2022 Hifadhi madawa mahali salama na pasipofikiwa na watoto kwa urahisi. Dawa ziachwe katika makasha., chupa au makopo yake zilimokuwemo.<br>\u2022 Hata siku moja madawa ya mimea yasitumike kwa kutibu binadamu.<br>\u2022 Endapo kutakuwepo na matatizo yeyote katika matumizi muone Mtaalamu kwa Ushauri.<br>\u2022 Iwapo sehemu ya kutolea dawa itaziba, tumia nyasi au kijiti kuzibua. Kamwe usizibue kwa mdomo.<br>wasiliana na Agronomist wetu ili upate ujuzi zaidi na elimu kuhusu madawa&nbsp;<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">UTUMIAJI WA MBOGA BAADA YA KUNYUNYIZIA DAWA.<\/h2>\n\n\n\n<p>Mboga zisitumike mara baada ya kunyunyizia dawa. Kila dawa ina siku zake za salama, lakini kwa madawa yaliyo mengi ni siku 14 toka kunyunyizia. Hivyo ni muhimu kusoma maelezo yanayoambatana na dawa. Ikiwa mboga zitatumika kabla ya muda huo huleta madhara kwa mlaji kama vile magonjwa ya kansa. Vilevile mbegu zilizowekwa dawa zisitumike kwa kula.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">MAGONJWA NA WADUDU WAHARIBIFU.<\/h2>\n\n\n\n<p>Ni muhimu kukinga mimea dhidi ya wadudu na magonjwa ili kupata mazao mengi na bora. Zifuatazo ni njia mbalimbali zinazoweza kutumika katika kuzuia magonjwa na wadudu waharibifu.<\/p>\n\n\n\n<h3 class=\"wp-block-heading\">UTHIBITI SANGO<\/h3>\n\n\n\n<p>Njia hii hutumia mbinu zifuatazo Kupanda mbegu bora;<br>\u2022 Usafi wa bustani ambao ni pamoja na kuchoma takataka na kuondoa magugu yanayoweza kutunza wadudu na magonjwa.<br>\u2022 Kuchanganya mazao Kutumia samadi na mboji Kupanda kwa nafasi. Kutumia aina ya mbegu zinazovumilia au kustahimili mashambulizi ya magonjwa na wadudu.<\/p>\n\n\n\n<h3 class=\"wp-block-heading\">UDHIBITI WA KITEKNOLOJIA.<\/h3>\n\n\n\n<p>Kutumia aina mbalimbali za madawa Kutumia mimea inayoua wadudu, kama vile<br>\u2022 muarobaini<br>\u2022 pilipili kali<br>\u2022 aina fulani ya maua<br>\u2022 marejea<br>\u2022 tumbaku<br>\u2022 wadudu kama vile walawangi, manyigu na mbawakau.<\/p>\n\n\n\n<h2 class=\"wp-block-heading\">VIFAA VYA BUSTANI.<\/h2>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left\">Ili kuboresha kilimo cha mboga ni muhimu kuwa na<br>\u2022 jembe<br>\u2022 kamba<br>\u2022 reld<br>\u2022 uma wa bustani<br>\u2022 ndoo ya kumwagilia maji<br>\u2022 bomba la kunyunyizia dawa<br>\u2022 toroli<br>\u2022 panga<br>\u2022 kiwanja<br>\u2022 sepetu<br>\u2022 beleshi karai na kadhalika.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-center\"><br>Asante na karibu tufanye kilimo chenye tija\u00a0<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left\"><em>Engineer Octavian Lasway &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; Agronomist Boniphace Mwanje<\/em><br><em>Irrigation Engineer &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;0719880905\/0756800419<\/em><br><em>0763347985<\/em><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>KUCHAGUA ENEO. Katika uchaguzi wa eneo kwa ajili ya bustani zingatia yafuatayo:\u2022 Mwinuko:&nbsp;Eneo lisiwe kwenye mwinuko mkali kwa sababu sehemu kama hizo zinaweza kusababisha mmomonyoko wa udongo. Endapo sehemu itakuwa ya mwinuko tengeneza matungazi (terrace) ili kuzuia mmomonyoko huo. \u2022 Udongo:&nbsp;Udongo unaofaa ni wenye rutuba, mboji nyingi na unaopitisha maji kwa kirahisi. Vilevile usiwe na&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":646,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[49],"tags":[],"class_list":["post-645","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-agronomy","item-inner"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/645","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=645"}],"version-history":[{"count":0,"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/645\/revisions"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/media\/646"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=645"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=645"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/greenagriculturetz.com\/new\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=645"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}