• Call Us+255 676 262757
Holly%20Green%20Agric%20Group%20Limited
  • Write Emailsales@greenagriculturetz.com

Digital marketing is the component of marketing that uses the Internet and online based digital technologies such as desktop computers, mobile phones and other digital media and platforms to promote products and services.

  • ADDRESS:

    California, TX 70240
  • EMAIL:

    support@validtheme.com
  • PHONE:

    +44-20-7328-4499

Get Subscribed!

Holly%20Green%20Agric%20Group%20Limited
Holly%20Green%20Agric%20Group%20Limited
  • Home
  • About
    • Our Company
    • Message From CEO
    • Our Team
    • Our Clients
  • Our Services
    • Farm Planning & Layout
    • Soil Testing and Analysis
    • Irrigation system design and installation
    • Green house design and installation
    • Training and Capacity Building
    • Fish Pond Design and Construction
    • Rainwater Harvesting System Design
    • Post Harvest Technologies
    • Solar Power Equipment and Water System
    • Supplies of Products and Equipments
  • Our Products
  • News & Updates
  • Contacts
  • Request a quote

UFUGAJI WA SAMAKI KISASA NA KIBIASHARA

Home / POST HARVESTING, / UFUGAJI WA SAMAKI KISASA NA KIBIASHARA
  • July 22, 2022

UTANGULIZI

Ufugaji samaki ni kazi ya kupanda, kukuza na kutunza samaki katika mabwawa, mito, mifereji au eneo lililotengwa kwa ajili ya ukusanyaji wa maji, uzio (uliotengenezwa kwa vyuma, nyavu 
au miti) au eneo lolote ambalo udhibiti wake uko chini ya mamlaka ya mfugaji mwenyewe. Mabwawa  ya samaki hutengenezwa au huchimbwa kwa njia tofauti tofauti, yaweza kuwa ni ya 
kuchimbwa na watu (japokuwa ya asili pia huweza kutumika) Samaki pia wanaweza kufugwa baharini au ziwani kwa kutumia vizimba (cages) Pia uzio unaweza kuwekwa katika eneo lolote lililo na maji kama ziwa au baharí au chemichemi.

SATO

Sato /Tilapia wapo wa aina tofauti tofauti kama vile sato wa Mosambique, sato weusi, sato wa victoria na wale shiranus. Tofauti zao ni ndogo sana na mara nyingi ni vigumu kuwatambua.Ufugaji samaki kwa kiasi fulani si sawa na ukuaji wa samaki katika mito, maziwa na bahari. Tofauti iko katika huduma inayotolewa kwa samaki wafugwao na idadi ya samaki wanaopaswa kuwamo ndani ya eneo husika. Samaki waliofugwa huhitaji kulishwa na kuhudumiwa.

SAMAKI AINA YA KAMBALE

 Kambale (Claries gariepinus), ni aina ya samaki ambao wanafugwa kwenye maji baridi na wanauwezo wa kustahimili mazingira magumu kulinganisha na samaki wengine.Samaki hawa wapo species au wanatajwa kwa majina mbalimbali kulingana na eneo na jamii husika. Samaki hawa unaweza kusikia wakitajwa kwa majina mengine kama vile, kambale channel, koleo, samaki kidevu, samaki wa kwenye matope. N.k. Samaki hawa (kambale) wanakua kwa kiasi kikubwa sana kwanzia kilo 1 na kuendelea. Kambale hawana magamba na wanauwezo wa kustahimili upungufu mkubwa wa oxygen kwenye maji ya bwawa kwakua na mifumo miwili ya upumuaji katika mwili wao.Ufugaji wa samaki ni sector inayokua kwa kiasi fulani licha ya changamoto zinazo ikabithi sector hii hapa Tanzania. Baadhi ya Watanzania wamekuwa wakifuga samaki katika mabwawa hata kabla ya nchi yetu kupata uhuru. Lakini baadhi ya wafugaji wamekuwa wakitoa matunzo hafifu kwa kutofahamu vizuri mambo ya kuzingatia katika swala zima la ufugaji wa samaki kiasi cha kufanya mavuno kutokua mazuri na kupelekea sector hii kushuka na kukua kwa kusua sua. Kwa miaka ya karibuni, serikali imetilia mkazo utoaji elimu (ugani) wa ufugaji samaki ili kuboresha mafanikio yake.Green Agriculture co.limited tumekuletea kitabu cha UFUGAJI WA SAMAKI KISASA NA KIBIASHARA, kilichojaa maarifa na utaalamu juu ya ufugaji wa samaki kwanzia mwanzo, namna ya kuandaa eneo la kufugia samaki, mbegu ya samaki, chakula cha samaki,  uzalishaji  wa samaki, (sato na kambale), magonjwa na viumbe waharibifu kwa samaki. Wasomaji wetu wa kitabu hiki watasaidika kuongeza uelewa zaidi kwenye ufugaji wa samaki hususani kwenye uzalishaji wa samaki kama ufugaji wenye tija kwa manufaa ya mkulima ama mfugaji.Kitabu chetu kinapatikana kwa njia ya Hard copy kikiwa na kurasa zake 49 kumrahisishia mkulima katika usomaji.

Kupata kitabu chetu wasiliana nasi kwa+255752799673 / 0655859810.Godfrey, Christopher Sway
 Mtaalamu wa Samaki kutoka
 Sokoine University of Agriculture
 +255752799673 / 0655859810
Kwa mahitaji ya ushauri, utengenezaji na utunzaji wa mabwawa ya samaki wasiliana nasi

Share:

Previous Post
MWENDELEZO NAMNA
Next Post
KILIMO BORA

Leave a comment

Cancel reply

Recent Post

  • 04 February, 2021KANUNI ZA KILIMO CHA VITUNGUU.
  • 04 February, 2021MWONGOZOWA KILIMO BORA CHA MAHINDI
  • 04 February, 2021KILIMO BORA CHA KAROTI(CARROT)

Tags

category list

  • AGRONOMY 26
  • IRRIGATION 1
  • IRRIGATION 5
  • POST HARVESTING, 7
  • TECHNOLOGY 5
  • Uncategorized 4
Holly%20Green%20Agric%20Group%20Limited

Our vision centers around the creation and innovation of products and services tailored to benefit farmers. Our aspiration is to transform these offerings from mere business ventures into essential components of the agricultural industry, effectively addressing the fundamental needs of the farming community

Explore

  • Farm Planning and Layout
  • Soil Testing and Analysis
  • Irrigation System Design and Installation
  • Solar Power Equipment and Water System
  • Rainwater Harvesting System Design
  • Fish Pond Design and Construction
  • Post Harvest Technologies
  • Training and capacity Building
  • Green house design and installation

Recent Articles

  • KANUNI ZA KILIMO CHA VITUNGUU.
  • MWONGOZOWA KILIMO BORA CHA MAHINDI
  • KILIMO BORA CHA KAROTI(CARROT)

Contact Info

ADDRESS:
Headquarter :
Pamba House
Plot No. 97-103
Old Dar es Salaam Rd
P.O. Box 910
Morogoro, Tanzania

Branch :
Nazareti Street
HSE Block T508
Njombe, Tanzania

EMAIL:
sales@greenagriculturetz.com

PHONE :
+255 676 262757
+255 767 102418
+255 763 347985

Copyright 2025 Holly Green Agric Group Limited. All Rights Reserved.

Holly Green Agric Group Limited